Habari ya Kutisha: Sad As Baby Is Killed By His Uncle (Chops His Head)

 Habari ya Kutisha

Mtoto aliyepelekwa kunyolewa nywele ya kwanza kwa kina babaye ameuliwa kwa kukatwa shingo na ndugu wa baba kule Matioli- Butali, katika Kaunti ya Kakamega.

Inaarifiwa kwamba kijana huyo, Amondo Mola mwenye umri wa miaka 19, alimuua mtoto wa miezi minne kwa kumkata shingo kwa upanga.

Inasemekana mtoto huyo alikuwa amepelekwa nyumbani kwa familia ya kijana huyo kwa sherehe za kitamaduni za kunyolewa nywele. To see the photo, Click here 

Popular posts from this blog

Today's World Cup CAF qualifiers

List Of Teams That Have Qualified For 2026 FIFA WORLD CUP

Gachagua In Trouble As Women Plans To Do This Near His Home